Sababu ya wahindi kupenda kula pilipili zaidi ya mboga
Pilipili zaweza patikana kwa rangi tofauti tofauti kama vile nyekundu, zambarau, manjano na kijani kulingana na mazingira au aina ya mmea wa pilipili.
By Pambazuko 4 years ago
Sababu ya wahindi kupenda kula pilipili zaidi ya mboga
Kinaya kwa Tanzania kuipa Kenya kisomo dhidi ya ukabila
Rais Nyerere alihimiza siasa za kichina za ujamaa na kujitegemea huku akiwadanganya watanzania wakae vijiji vya ujamaa badala ya kujikuza kimataifa.
By Pambazuko 4 years ago
Kinaya kwa Tanzania kuipa Kenya kisomo dhidi ya ukabila
Miembe ilianza kupandwa miaka 4000 iliyopita
Hii hapa taarifa kuhusu historia ya kupanda miembe.
By Pambazuko 4 years ago
Miembe ilianza kupandwa miaka 4000 iliyopita
Kakamega ndio kitovu cha mimba za mapema
Zaidi ya wasichana 20,000 hupachikwa mimba kila mwaka katika kaunti ya Kakamega asilimia kubwa wakiwa wamo chini ya miaka 16.
By Pambazuko 4 years ago
Kakamega ndio kitovu cha mimba za mapema
Vita baridi dhidi ya miraa na muguka vyazuka
Bw Njuki ambaye ni mnunuzi wa jumla wa Muguka anafungua gunia moja na kuanza kukagua miraa huku mazungumzo yakipamba moto kati yake na wazee hawa.
By Pambazuko 4 years ago
Vita baridi dhidi ya miraa na muguka vyazuka
Lazima Joho, Kingi na Mvurya wafanye pamoja
Lisemwalo lipo na kama halipo, lipo njiani laja.
By Pambazuko 4 years ago
Lazima Joho, Kingi na Mvurya wafanye pamoja
Eneo la Kati laelekea kuvunja daraja la BBI badala ya kulijenga
. Uhuru na Raila wameapa kuzunguka nchi nzima kueneza ujumbe wa kuwarai wananchi kuunga mkono mapendekezo ya ripoti ya BBI.
By Pambazuko 4 years ago
 Eneo la Kati laelekea kuvunja daraja la BBI badala ya kulijenga
Je, Magufuli ni mgema alotia pombe maji
Bwana huyu alikuja kwa vishindo vikuu vya kuleta mabadiliko makuu Tanzania.Aliwashtua wengi kwa kupigana kwa jino na kucha dhidi ya zimwi la u?sadi.
By Pambazuko 4 years ago
Je, Magufuli ni mgema alotia pombe maji
Nyagarama asutwa na Ruto kwa kutohudhuria harambee
Naibu wa Rais William Ruto amemsuta Gavana wa Nyamira John Nyagarama kwa kukosa kuhudhuria Harambee ya Kanisa la Kiadventista la Tente
By Pambazuko 4 years ago
Nyagarama asutwa na Ruto kwa kutohudhuria harambee
Eneo la Kati laelekea kuvunja daraja la BBI badala ya kulijenga
Uhuru na Raila wameapa kuzunguka nchi nzima kueneza ujumbe wa kuwarai wananchi kuunga mkono mapendekezo ya ripoti ya BBI
By Pambazuko 4 years ago
Eneo la Kati laelekea kuvunja daraja la BBI badala ya kulijenga
Mshukiwa Okuto Otieno ni nani kwa Aisha Jumwa?
Jumwa alikiuka mila na desturi za kijamii kwa kujitosa mkutano wa wenyewe kwenye boma la watu na kuanza kuwacharaza wanaume mako?
By Pambazuko 4 years ago
Mshukiwa Okuto Otieno ni nani kwa Aisha Jumwa?
Geoffrey Kariithi alikuwa nani kwa Mzee Jomo Kenyatta?
Geoffrey Kariithi Karekia, maarufu G.K. alichukua hatamu za uongozi kutoka kwa mwenzake Duncan Ndegwa mnamo 1967.
By Pambazuko 4 years ago
Geoffrey Kariithi alikuwa nani kwa Mzee Jomo Kenyatta?
Je, bara Afrika itapata hadhi yake dunia ya leo
Bara la Afrika limekuwa na chanagmoto sufufu katika ulimwengu wa sasa hususan kutengwa katika maswala nyeti ya walimwengu.
By Pambazuko 4 years ago
Je, bara Afrika itapata hadhi yake dunia ya leo
Tofauti ya 8-4-4 na mtaala mpya wa 2-6-6-3
Kulingana na ratiba ya mtaala mpya wa elimu nchini Kenya, huu mfumo wa 2-6-6-3, ilikuwa kuanzia tarehe 17 hadi tarehe 20 mwezi huu wa Septemba.
By Pambazuko 4 years ago
Tofauti ya 8-4-4 na mtaala mpya wa 2-6-6-3
Raila asema Afrika imelalia masikio utajiri wake
Utajiri wa Afrika umetapakaa lakini haujatumiwa vilivyo mfano wa ng’ombe aliyejaa maziwa na kukosa mkamuaji wa kutowa maziwa hayo.
By Pambazuko 4 years ago
Raila asema Afrika imelalia masikio utajiri wake
Mchango wa Mugabe katika Afrika utadumu milele
Mugabe ni kizazi cha wanasiasa wa jadi wa kiafrika wanaoamini kuwa wasemalo ni sawa na hakuna wa kukosoa ama kuwapinga.
By Pambazuko 4 years ago
Mchango wa Mugabe katika Afrika utadumu milele
Seneta Moi atawazwa mzee Kalenjin
Ni katika sherehe ambayo hufanyika baada ya mashauri na maelekezo kutoka kwa wazee wa Kikalenjin.
By Pambazuko 4 years ago
Seneta Moi atawazwa mzee Kalenjin
Matiang’i kuwazima mahasimu wa ‘Handisheki’
“Wakereketwa wanasema ni dhahiri kuwa Rais Uhuru na Raila wameekeza amani ya “Handisheki” mikononi mwa Waziri kiranja ili kuwazima mahasimu wao.”
By Pambazuko 4 years ago
Matiang’i kuwazima mahasimu wa ‘Handisheki’
Je, wajua mafuta ya nazi ni dhahabu kwa mwili wako
Mafuta ya nazi yanaweza kutumika kuongeza kinga ya mwili kuzuia matatizo kwenye mfano wa upumuaji, kuponya matatizo katika figo pamoja na mengine.
By Pambazuko 4 years ago
Je, wajua mafuta ya nazi ni dhahabu kwa mwili wako
Magonjwa hatari yanayowakumba wajawazito
Leo tutazungumzia magonjwa ambayo yanaweza kuwa hatari kwa wajawazito.
By Pambazuko 4 years ago
Magonjwa hatari yanayowakumba wajawazito
Wakati umewadia saratani kutangazwa janga la kitaifa
Takwimu kutoka idara ya KEMRI zinaonyesha kuwa visa vipya vya ugonjwa wa saratani vime? kia zaidi ya 37,000 kila mwaka.
By Pambazuko 4 years ago
Wakati umewadia saratani kutangazwa janga la kitaifa
Uwanja wa shule wageuzwa soko la dawa za kulevya Mombasa
Uwanja wa shule ya Msingi ya Freea town umegeuzwa sasa kuwa uwanja wa kuuza dawa za kulevya hasa katika siku za wikendi.
By Pambazuko 4 years ago
Uwanja wa shule wageuzwa soko la dawa za kulevya Mombasa
Magonjwa yanayotesa mwanamke zaidi maishani
Miongoni mwa magonjwa ambayo humsibu mwanamke zaidi magonjwa manane yanayofuata ndiyo yanayomvamia mara kwa mara zaidi na kutishia hali yake ya afya.
By Pambazuko 4 years ago
Magonjwa yanayotesa mwanamke zaidi maishani
‘Punguza Mzigo’ ni adui wa maendeleo: Wabunge
Wabunge 10 kutoka majimbo ya Kisii, Nyamira na Migori wamesema kuwa mswada wa punguza mizigo utakandamiza maendeleo humu nchini.
By Pambazuko 4 years ago
‘Punguza Mzigo’ ni adui wa maendeleo: Wabunge
Unaponyonyesha epuka kunywa kahawa, chai kwa wingi kila siku
Ili kuhakikisha kwamba mwili wako una nguvu na uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha kwa mtoto wako, kunywa maji ya kutosha.
By Pambazuko 4 years ago
Unaponyonyesha epuka kunywa kahawa, chai kwa wingi kila siku
Utafiti: Viazi vitamu vyasaidia macho
Kulingana na shirika la Ugunja Community Resouce Centre, viazi tamu viko na madini aina ya Vitamini A ambayo ni muhimu kwa kusaidia machoya mwanadamu.
By Pambazuko 4 years ago
Utafiti: Viazi vitamu vyasaidia macho
Kizazi cha Mswahili huenda kilitokana na Mngozi na Mwarabu?
Baadhi huchukua uswahilini ni kwa watu wavivu wanaopenda starehe, watu wakujipenda wataaradhi na kadhalika.
By Pambazuko 4 years ago
Kizazi cha Mswahili huenda kilitokana na Mngozi na Mwarabu?
Karisa Maitha ndiye chanzo cha kina Joho kutajirika
Baada ya kujulishwa kwa Mary Wambui, ndugu hawa wawili mashuhuri walibobea kwa kuanza kutumia vyema fursa hiyo kuanza kupata zabuni
By Pambazuko 4 years ago
Karisa Maitha ndiye chanzo cha kina Joho kutajirika
Je, shoka la Weta ndilo la Matiang’i?
Kwa kawaida ya jambo zito kama hili, hudakiwa na wanasiasa wa mirengo tofauti wakati linapozuka na hata mwishowe kuharibu ama kulegeza ushahidi.
By Pambazuko 4 years ago
Je, shoka la Weta ndilo la Matiang’i?
Uwezekano wa kuwa MRC ‘A’ na ‘B’
Kuna dalili za kuonyesha kuwa kuna kundi mbili za vuguvugu la MRC.
By Pambazuko 4 years ago
Uwezekano wa kuwa MRC ‘A’ na ‘B’
Hali ya Raila, hali ya Ruto!
Hali ya Raila ya kisiasa na ile ya naibu wa rais William Ruto zinafanana. Hii ni baada ya wawili hao kufanya pamoja kabla kuwa mahasimu wa kisiasa.
By Pambazuko 4 years ago
Hali ya Raila, hali ya Ruto!
Kwa nini Tanzania inahujumu undugu Afrika ya Mashariki?
Sambamba na sakata ya ‘Brexit’ ya Uingereza kujitenga jumuiya ya Ulaya ‘European Union’ (EU) yamkini Tanzania inajitia katika mwiba huo.
By Pambazuko 4 years ago
Kwa nini Tanzania inahujumu undugu Afrika ya Mashariki?
Viongozi wenye domo la Kasuku
Viongozi hawa wamenoga hivi maajuzi kufuata cheche zao za maneno katika nyanja ya siasa.
By Pambazuko 4 years ago
Viongozi wenye domo la Kasuku
Princess Farida gwiji wa chakacha
Farida anawashauri wasanii wanaochipuka kuzingatia maudhui mahsusi ya kueneza injili.
By Pambazuko 5 years ago
Princess Farida gwiji wa chakacha
Raila awasuta Sifuna na Orengo
‘Baba’ awakaranga wanandani wake Sifuna, Orengo baada ya kusajili matokeo duni kwenye uchaguzi
By Pambazuko 5 years ago
Raila awasuta Sifuna na Orengo
Uhuru amtoa Kalembe Ndile ndani ya baa
Kalembe alivyoona hali hiyo, aliwajibika kutafuta kazi yoyote ile mradi maisha yatajikokota kwake.
By Pambazuko 5 years ago
 Uhuru amtoa Kalembe Ndile ndani ya baa
Vijana washirikiana kupambana na vita dhidi ya mihadarati
Vijana kutoka kaunti ndogo sita za Mombasa zinazojumuisha Kisauni, Nyali, Mvita, Likoni, Changamwe na Jomvu wameungana kupitia kwa muungano wa mashiri
By Pambazuko 5 years ago
Vijana washirikiana kupambana na vita dhidi ya mihadarati
Dori apumua ODM
Miezi michache iliyopita mheshimiwa alikuwa akihuzunisha akiwa mpweke na kuchanganyikiwa katika mkahawa mmoja wa Mombasa kabla Joho kuingilia
By Pambazuko 5 years ago
Dori apumua ODM
Mwanakijiji amwanika nduguye hadharani akiwa uchi
Wanakijiji waliojawa na ghadhabu walijitokeza kwa fujo na kufurika furi
By Pambazuko 5 years ago
Mwanakijiji amwanika nduguye hadharani akiwa uchi
Community groups working on restoration of a clean environment in Laikipia
Environment & Climate
By Boniface Gikandi
29 mins ago
Anxiety grips over 800 villagers gold mining activities
Western
By Nathan Ochunge and Robert Amalemba
48 mins ago
One-on-one with Seroney
Entertainment
By Boniface Mithika
1 hr ago
CDF Ogolla's last moments in troubled North Rift
National
By Standard Team
1 hr ago
Why General Ogolla will be buried within 72hrs
National
By Olivia Odhiambo and Isaiah Gwengi
1 hr ago