×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Vita baridi dhidi ya miraa na muguka vyazuka

Mchuuzi akishika kifungo cha miraa katika soko. Kuna uhasama kati ya wafanyibiashara wa miraa na wale wa Muguka kutoka Embu na Meru.

Ni asubuhi na mapema na wazee wawili wanawasili katika soko la Kiamuringa katika sehemu ya Mbeere ya kusini kaunti ya Embu wakibebamagunia mawili yaliojaa huku shamra shamra za ununuzi wa miraa aina ya Muguka ukiendelea.

Bw Njuki ambaye ni mnunuzi wa jumla wa Muguka anafungua gunia moja na kuanza kukagua miraa huku mazungumzo yakipamba moto kati yake na wazee hawa.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in