The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mchuuzi akishika kifungo cha miraa katika soko. Kuna uhasama kati ya wafanyibiashara wa miraa na wale wa Muguka kutoka Embu na Meru.
Ni asubuhi na mapema na wazee wawili wanawasili katika soko la Kiamuringa katika sehemu ya Mbeere ya kusini kaunti ya Embu wakibebamagunia mawili yaliojaa huku shamra shamra za ununuzi wa miraa aina ya Muguka ukiendelea.
Bw Njuki ambaye ni mnunuzi wa jumla wa Muguka anafungua gunia moja na kuanza kukagua miraa huku mazungumzo yakipamba moto kati yake na wazee hawa.
Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access