×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Uwezekano wa kuwa MRC ‘A’ na ‘B’

Viongozi wa MRC wakihutubia wananchi. [Picha: Pambazuko]

Hali inabashiria kwamba huenda kukawa na makundi mawili yanayoorodheshwa kuwa ya MRC lakini likawa moja la kundi ‘A’ likawa lile rasmi la kina Omar Mwamnuadzi na lingine la ‘B’ ambalo uhai wake ni wa kusadikika tu kufuatia matukio sawa ya uvamizi wa vijana ulioripotiwa juzi na idara ya polisi katika kaunti ya Kilifi.

Muda mfupi tu baada ya taarifa za vijana wanaosemekana walikuwa wanachama wa kundi la MRC kuponyea chupu kwenye msitu wa Jibana ambapo kulingana na taarifa za polisi, ilibainiwa kuwa zaidi ya vijana 50, Pambazuko ilijaribu kuchimba uwezekano huo kutaka kujua kutoka kwa baadhi ya viongozi wake lakini wakakana vikali kwamba vijana hao kamwe hana uhusiano wowote na MRC ambayo inaangazia haki yake kisheria.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902