×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Mchango wa Mugabe katika Afrika utadumu milele

Aliyekuwa rais wa nchi ya Zimbabwe marehemu Robert Mugabe. [Picha: Standard]

Kifo cha Robert Mugabe baba wa taifa wa Zimbambwe na mdau mkongwe wa kisiasa Afrika kumezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wasomi na wanafalsafa wa kimataifa kumuhusu. Je, Mugabe ametowa mchango gani barani Afrika na duniani kwa jumla? Je, alifaulu ama alishindwa katika azma yake ya ufanisi kwa aliowaongoza? Je, tunaweza kumuhukumu vipi bwana huyu tukitilia maanani mapungufu ya mwanadamu katika dunia ilosheheni changamoto sufufu za kisiasa, kiuchumi na kjamii? Mchanganuzi wa kisiasa pwani Abdulkadir Shtua asema Mugabe alianza vyema lakini mwisho akaharibu kutokana na kutakabari na kugeuka dikteta.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in