The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Zaidi ya tafiti 1500 zimethibitisha kuwa mafuta ya nazi ndio mafuta bora zaid chini ya jua. Mafuta ya nazi ni dhahabu kwa afya ya mwili na ngozi kwa ujumla. Bidhaa nyingi za vipodozi zimechunguzwa na zikagunduliwa kuwa kuongezwa mafuta ya nazi ndani yake, ili kupata faida za mafuta haya ni lazima yawe ni ya asili, hayajachanganywa na kingine chochote au kemikali yoyote, na yakiwa hivyo hujulikana kama mafuta bikra ya nazi (vigin coconut oil).
Nyingi ya faida za mafuta ya nazi ni matokeo ya kuwa na asili mafuta muhimu sana yajulikanayo kama ‘’Lauric’’. Lauric ni mafuta muhimu ambayo yana udhibiti mzuri dhidi ya bakteria, fangasi, sumu, vijidudu nyeweleni na maambukizi muhimu sana na hivyo kufanya dawa mbadala muhimu kuwa nayo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.