×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now

Uhuru amtoa Kalembe Ndile ndani ya baa

Mwanasiasa Kalembe Ndile.

Mwanasiasa mcheshi Kalembe Ndile ni mtu wa kawaida. Sawia na nguo ya kaniki, kamwe huwezi kumbadilisha jinsi alivyo kimazungumzo, maisha yake, msimamo wake katika kila jambo analonuia ama msukumo wowote unaokadiria kumyumbisha.

Bado haijulikani iwapo wazo ama hatua ya serikali ya Uhuru Kenyatta kumkumbuka mwanasiasa Kalembe Ndile pamoja na wenzake wa Ukambani kuteuliwa wakurugenzi wa mashirika hivi majuzi ni kutokana na huruma, malipo ya hisani ama msukumo kwamba rafiki ya Kalembe Ndile anachomwa na jua kali la pwani akihudumia wateja kwenye mkahawa wa mvinyo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in