×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Uhuru amtoa Kalembe Ndile ndani ya baa

Mwanasiasa Kalembe Ndile.

Mwanasiasa mcheshi Kalembe Ndile ni mtu wa kawaida. Sawia na nguo ya kaniki, kamwe huwezi kumbadilisha jinsi alivyo kimazungumzo, maisha yake, msimamo wake katika kila jambo analonuia ama msukumo wowote unaokadiria kumyumbisha.

Bado haijulikani iwapo wazo ama hatua ya serikali ya Uhuru Kenyatta kumkumbuka mwanasiasa Kalembe Ndile pamoja na wenzake wa Ukambani kuteuliwa wakurugenzi wa mashirika hivi majuzi ni kutokana na huruma, malipo ya hisani ama msukumo kwamba rafiki ya Kalembe Ndile anachomwa na jua kali la pwani akihudumia wateja kwenye mkahawa wa mvinyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902