The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Picha ya wanaotumia dawa ya kulevya. [Picha: Pambazuko]
Uwanja wa shule ya Msingi ya Freea town umegeuzwa sasa kuwa uwanja wa kuuza dawa za kulevya hasa katika siku za wikendi. Kila siku za Jumamosi na Jumapili uwanja huo hujaa mamia ya watu wengi wao wakitazama mpira huku wengine wakifanya biashara ya kukodisha viti kwa watu ambao wamekuja kutizama mpira,ambao huwa unachezwa hasa kila wikendi katika uwanja huo.
Katika siku hizo ni nadra sana kuona maafisa wa polisi wakizunguka ili kuangalia hali ya usalama iko namna gani, ikizingatiza kuwa kuna idadi kubwa ya watu ambao usalama ungehitajika kwa maana huenda hata zogo likatokea katika uwanja huo. Katika siku hizo za wikeendi pia mimi huenda katika uwanja huo ili kutazima mpira lakini cha kushangaza huwa ninatazama “mpira tafauti,” nilipata mahali nikasimama na kuegemea ukuta wa shule ya Freea Town, ili nipate fursa ya kuuangalia mpira vizuri. Hata hivyo kando yangu kulikuwa na vijana ambao hata wengine walikuwa wamelala na wengine wakiuza bangi na dawa nyengine za kulevya kisiri.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.