×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Miembe ilianza kupandwa miaka 4000 iliyopita

 

Juma lililopita tulianza kuzungumzia mti unaoitwa muembe, na tukasema unapata asili yake katika sehemu za mpaka wa India na Burma. Maelezo zaidi yanasema miembe hupatikana katika kanda nzima ya milima ya Himalaya Mashariki kwenye mpaka wa Burma na India.  Kabla hatujaendelea tungependa kuwafahamisha neno la kizungu Mango lilikotoa asili yake.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Miembe Ukulima