×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Geoffrey Kariithi alikuwa nani kwa Mzee Jomo Kenyatta?

Geoffrey Kariithi akagua gwaride la heshima lililoandaliwa na polisi wa utawala, Embakasi jijini Nairobi, mwaka wa 1971. [Pambazuko]

Alifahamika kama mkuu wa wafanyikazi wa umma na katibu wa kudumu katika A?si ya Rais na katibu wa baraza la mawaziri aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi katika serikali ya rais mwanzilishi wa taifa la Kenya Mzee Jomo Kenyatta.

Geoffrey Kariithi Karekia, maarufu G.K. alichukua hatamu za uongozi kutoka kwa mwenzake Duncan Ndegwa mnamo 1967.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in