×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Magonjwa hatari yanayowakumba wajawazito

Leo tutazungumzia magonjwa ambayo yanaweza kuwa hatari kwa wajawazito. Pumu, ugonjwa wa kisukari na kuwa katika hali ya kudhikika moyoni, vyaweza kudhuru afya ya mwanamke na mtoto wakati wa uja uzito kama hali hizo hazitashughulikiwa vilivyo. Mimba inaweza kusababisha hesabu ya chembe chembe nyekundu za damu kupungua na kusababisha ugonjwa wa anemia ambao una maana ya damu kupungua na kupata machovu na mwili kubadilika rangi na kuwa mweupe.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in