The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Leo tutazungumzia magonjwa ambayo yanaweza kuwa hatari kwa wajawazito. Pumu, ugonjwa wa kisukari na kuwa katika hali ya kudhikika moyoni, vyaweza kudhuru afya ya mwanamke na mtoto wakati wa uja uzito kama hali hizo hazitashughulikiwa vilivyo. Mimba inaweza kusababisha hesabu ya chembe chembe nyekundu za damu kupungua na kusababisha ugonjwa wa anemia ambao una maana ya damu kupungua na kupata machovu na mwili kubadilika rangi na kuwa mweupe.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.