×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Je, bara Afrika itapata hadhi yake dunia ya leo

Bara la Afrika limekuwa na chanagmoto sufufu katika ulimwengu wa sasa hususan kutengwa katika maswala nyeti ya walimwengu. Mataifa ya Ulaya na mshirika wake mkuu wa Marekani wamejibandika ukuu wa wanadamu bila ya idhini ya washika dau husika. Mkuu wa tawi la chuo kikuu cha Moi mkoa wa Pwani Daktari Mbwarali Kame anaamini kwamba Afrika imenyimwa mgao wake wa haki katika sekta zote.

‘Wazungu wamewanyima wafrika haki kwa kuwagandamiza na kuwabagua katika maamuzi ya wote’ asema Kame na kuongeza kuwa Umoja wa Mataifa ni jukwaa danganyifu la kuwapandikisha wazungu na kuwashusha hadhi wafrika. Twaweza kukubaliana na maoni ya Kame kwa misingi ya matukio yanayoendelea katika ulimwengu wa sasa ya mwenye nguvu mpishe.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in