×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, bara Afrika itapata hadhi yake dunia ya leo

Bara la Afrika limekuwa na chanagmoto sufufu katika ulimwengu wa sasa hususan kutengwa katika maswala nyeti ya walimwengu. Mataifa ya Ulaya na mshirika wake mkuu wa Marekani wamejibandika ukuu wa wanadamu bila ya idhini ya washika dau husika. Mkuu wa tawi la chuo kikuu cha Moi mkoa wa Pwani Daktari Mbwarali Kame anaamini kwamba Afrika imenyimwa mgao wake wa haki katika sekta zote.

‘Wazungu wamewanyima wafrika haki kwa kuwagandamiza na kuwabagua katika maamuzi ya wote’ asema Kame na kuongeza kuwa Umoja wa Mataifa ni jukwaa danganyifu la kuwapandikisha wazungu na kuwashusha hadhi wafrika. Twaweza kukubaliana na maoni ya Kame kwa misingi ya matukio yanayoendelea katika ulimwengu wa sasa ya mwenye nguvu mpishe.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902