The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga akihutubia watu katika hafla ya kuzindua kitabu jijini Kisumu. [Picha: Standard]
Asasi sufufu za kimataifa hususan za kifedha zimethibitisha kuwa Afrika ni sehemu pekee duniani ambayo ina raslimali za kiuchumi kushinda sehemu nyingine. “Simba wa Afrika anamwambia simba marara (Tiger) wa Asia kwamba nimekalia mali na nakuja kutawala,” asema kimafumbo Raila Odinga katika hotuba yake ya umoja wa wafanyikazi Afrika jijini Nairobi majuzi. Raila anamini kuwa Afrika ina uwezo wa kuwa mbele kimaendeleo kushinda mabara mengine kama Ulaya na Amerika. Swali ni, Je, kuwaje Afrika iliyo tajiri kuwa kama masikini anayeomba misaada kwa ‘matajiri’ wa nje?
Je, ni sababu zipi za kinaya hiki cha Afrika na suluhu iko wapi? Sambamba na imani ya Raila aliye mjumbe maalum wa miundo mbinu katika Umoja wa Afrika (AU) ni kweli Afrika imelalia masikio. Penye miti hakuna wajenzi. Msemo huu ndio ukweli uliopo kwa bara la Afrika na ni changamoto kubwa katika karne hii ya utandawazi inayotowa fursa ya kuendelea badala ya kuzembea.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.