×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Raila asema Afrika imelalia masikio utajiri wake

Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga akihutubia watu katika hafla ya kuzindua kitabu jijini Kisumu. [Picha: Standard]

Asasi sufufu za kimataifa hususan za kifedha zimethibitisha kuwa Afrika ni sehemu pekee duniani ambayo ina raslimali za kiuchumi kushinda sehemu nyingine. “Simba wa Afrika anamwambia simba marara (Tiger) wa Asia kwamba nimekalia mali na nakuja kutawala,” asema kimafumbo Raila Odinga katika hotuba yake ya umoja wa wafanyikazi Afrika jijini Nairobi majuzi. Raila anamini kuwa Afrika ina uwezo wa kuwa mbele kimaendeleo kushinda mabara mengine kama Ulaya na Amerika. Swali ni, Je, kuwaje Afrika iliyo tajiri kuwa kama masikini anayeomba misaada kwa ‘matajiri’ wa nje?

Je, ni sababu zipi za kinaya hiki cha Afrika na suluhu iko wapi? Sambamba na imani ya Raila aliye mjumbe maalum wa miundo mbinu katika Umoja wa Afrika (AU) ni kweli Afrika imelalia masikio. Penye miti hakuna wajenzi. Msemo huu ndio ukweli uliopo kwa bara la Afrika na ni changamoto kubwa katika karne hii ya utandawazi inayotowa fursa ya kuendelea badala ya kuzembea.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902