Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mjaluo, Muhaya, Mnyamwezi na Mdigo ni watani wa tangu jadi

Siku moja nilikuwa nikititazama mchezo wa Bao la Kiswahili, katika mtaa mmoja wa kiswani wa Mwembe Tanganyika mjini Mombasa. Ni zamani sana, ni mwishoni mwa miaka ya 1960. Maskani hiyo ilikuwa ikihudhuriwa na watu wa makabila yote pasipo kubaguana. Palikuwa hapazungumzwi lugha nyingine zaidi ya Kiswahili.  Kati ya waliokuja kucheza bao maskani hiyo, walikuwa wamepiga vita vikuu vya  pili vya Dunia  vilivyokuwepo kati ya 1939 hadi 1945. Kwa tajriba hiyo tu utaona kuwa maskani hiyo wengi walikuwa watu wazima. Mimi kwa wakati huo nilikuwa kijana wa miaka 24 hivi, nikimfuata babu yangu Mzee Msabila ambaye alikuwa manju katika  ufundi wa kulicheza bao hilo. Wenyewe wasema mcheza bao anayeweza kupiga duru saba na kuendelea, huyo ni  fundi. Licha ya kuwa na miaka hiyo niliootaja, katika maskani hiyo nilionekana mtoto.

Nilikuwa nikitumwa tumwa, hata kupeleka mahitaji muhimu ya nyumbani kwenye nyumba za wazee hao. Naweza kutumwa nipeleke pesa , kitoweo au mbogamboga, samaki, ama nikanunua sigara, tumbaku aina ya ogoro au niende Mwembe Tayari soko la papa kununua papa na kadhalika. Tena sio kama utapewa asante au pole la, Wazee hao waliamini kwamba unatekeleza wajibu wako. Maskani ya watu wazima na wazee panakuwa na wanautani wao wa asili kati ya kabila Fulani na kabila Fulani. Mfano nilijulia hapo kwamba Mnyamwezi kutoka Tanzania ni mtani wa Mkamba kutoka Kenya. Mjaluo na Muhaya ni watani wa jadi Mdigo na Mnyamwezi, Wanyasa walitaniana na Wazaramo na kadhalika. Kulikuwa na matusi yazungumzwa lakini huwezi kujua kama wazungumza matusi kama huji kufumbua. Maana wali? cha sana sisi vijana tusigundue. Hata wakiwa wanamsema mwenzao ili waje kumkanya, basi watatumia ku? cha tusijue.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News