×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Magenge ya kihalifu Mombasa

Washukiwa wa genge la Wakali Kwanza, wakamatwa na polisi.

Kaunti ya Mombasa ni kivutio cha utalii kutokana na bahari na mandhari safi ya kupendeza ila cha kushangaza ni kwamba Mombasa umekuwa mji ambao unazidi kutiliwa shaka kutokana na visa vya utovu wa usalama. Licha ya waziri wa usalama wa ndani Dakta Fred Matiangi kuzuru Mombasa na kutoa onyo kali na mageuzi katika idara ya usalama, magenge mapya yanaendelea kuchipuka hapa Mombasa.

Kulingana na ripoti iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Haki Afrika, watu 40 wameripotiwa kuuawa na magenge ya kihalifu  katika kipindi cha mwaka mmoja, huku washukiwa 30 wa magenge hayo, ndio ambao wamekamatwa na maafisa wa polisi kufikia sasa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902