×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Karisa Maitha ndiye chanzo cha kina Joho kutajirika

Gavana Hassan Joho.

Wanaoitika wafalme wakikohoa kamwe siyo wafuasi wa kanisa la Neno Evangelism Centre la Pasta James Nganga pekee bali kunao wangwana wengine mashinani ambao wakiteuka tu, wengine hupaparika kuitika hewala bwana!

Kabla ya kuchipuka kwa familia ya Joho, ikiongozwa na nguzo ya kaunti ya Mombasa na pwani nzima kwa jumla ya misingi ya kisiasa Abubakar ‘Alpha’ Joho hadi kufikia 2004, Mgongo wa pwani, marehemu Emmanuel Karisa Maitha ndiye aliyekuwa aking’orota vinyabwela (makalameni) wote wa kisiasa walikuwa wanaingia mwituni.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in