×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now

Tofauti ya 8-4-4 na mtaala mpya wa 2-6-6-3

Wanafunzi wa gredi 3 kutoka shule ya msingi ya Mercy Junior Academy, eneo bunge la Ugenya, kaunti ya Siaya wafanya mtihani wa kitaifa darasani. [Picha: Pambazuko]

Kulingana na ratiba ya mtaala mpya wa elimu nchini Kenya, huu mfumo wa 2-6-6-3, ilikuwa kuanzia tarehe 17 hadi tarehe 20 mwezi huu wa Septemba, wanafunzi wa gredi 3 wanafanya mtihani wa Kitaifa chini ya mtaala mpya wa 2-6-6-3. Baadhi ya shule zimekamilisha mitihani hiyo ambayo ni ya Hisabati na Kiingereza pekee na yenye nembo ya mitihani ya kitaifa kwenye ukurasa wa kwanza.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in