The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanafunzi wa gredi 3 kutoka shule ya msingi ya Mercy Junior Academy, eneo bunge la Ugenya, kaunti ya Siaya wafanya mtihani wa kitaifa darasani. [Picha: Pambazuko]
Kulingana na ratiba ya mtaala mpya wa elimu nchini Kenya, huu mfumo wa 2-6-6-3, ilikuwa kuanzia tarehe 17 hadi tarehe 20 mwezi huu wa Septemba, wanafunzi wa gredi 3 wanafanya mtihani wa Kitaifa chini ya mtaala mpya wa 2-6-6-3. Baadhi ya shule zimekamilisha mitihani hiyo ambayo ni ya Hisabati na Kiingereza pekee na yenye nembo ya mitihani ya kitaifa kwenye ukurasa wa kwanza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.