×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

Princess Farida: Maisha yake na taaluma ya muziki

Wanamuziki wa injili wakiwemo Ben C (kushoto) Dar Mjomba,Princess Farida and Warda wakiwa Groove Tour 2017 katika Machakos People's Park, Machakos. [Picha/Elvis Ogina ]

Wale ambao walikuwa wafuasi wa minenguo ya rhumba na chakacha katika miaka ya mwanzoni hadi  miaka ya 1990s, bila shaka jina la Princess Farida kwao silo geni. Farida ambaye alililipata jina lake hili kwa ushindi wa miaka mfululizo katika mashindano ya mnenguaji wa dansi ya “Chakacha”, miaka ya tisini, amekuwepo ulingoni mwa muziki kwa zaizi ya miaka 20 na hivi ametoka jikoni na kibao kipya cha Ra? ki wa Kweli kinachofuatia kingine kinachoendelea kubobea cha Amelipa.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in