×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Eneo la Kati laelekea kuvunja daraja la BBI badala ya kulijenga

Naibu Rais William Ruto na Kasisi Peter Kania, katibu wa PCEA, kwenye hafla ya kuadhimisha miaka 50 ya kanisa hilo eneo

Hata kabla ya ripoti kamili kutolewa, tayari Rais uhuru na kiongozi wa upinzani Raila Odinga wamewadhihirishia wakenya kwamba wqako tayari kufa kupona kutetea mpango wa kujenga madaraja ya uhusiano mwema maarufu Building Bridges initiative – BBI. Uhuru na Raila wameapa kuzunguka nchi nzima kueneza ujumbe wa kuwarai wananchi kuunga mkono mapendekezo ya ripoti ya BBI wakidai kwamba BBI ndio njia ya pekee ya kusuluhisha matatizo yaliyoandama nchi tangu jadi. Idadi kubwa ya viongozi miongoni mwao wandani wa Rais Uhuru Kenyatta kutoka mkoa wa kati tangu enzi za KANU wameonyesha dalili za kupinga ripoti ya BBI wakisema hawatounga mkono mageuzi ya kikatiba yatakayohujumu eneo wanaloliwakilisha. 

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

BBI Raila Uhuru