×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Raila amwaga hasira kwa Orengo na Sifuna baada ya matokeo duni kwenye uchaguzi

Kiongozi wa wachache katika bunge la Seneti James Orengo na kiongozi wa ODM Raila Odinga katika mkutano wa siasa ya zamani. [Picha: Standard]

Ama kwa kweli mambo yanayoendelea ndani ya nyumba za watu unaweza kupigwa na butwaa kusikia haswa nini kinachoendelea kila kukicha. Baadhi ya viongozi wa chama maarufu cha ODM ambao daima wamemkiria kinara wake wa kitaifa Raila Odinga “Baba” kuwa kuwa ni simba aliyenyeshewa na mvua baada ya mkono wake wa buheri na Rais Uhuru Kenyatta, walipigwa na mshangao wakati alipowakemea miongoni mwa viongozi wake ambao huropokwa maneno bila kupima uzito wake.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in