×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Vijana washirikiana kupambana na vita dhidi ya mihadarati

Viongozi wa vijana kutoka mashirika mbali mbali ya kijamii katika kaunti ya Mombasa wakijumuika pamoja na Mhariri mtekelezaji wa gazeti la Pambazuko baada ya zoezi la kuwapa motisha katika kukuza talanta zao kwenye ukumbi wa kijamii wa uhamazishaji wa mikoko wa Comensum ulioko wadi ya Bamburi kaunti ndogo ya Kisauni, Mombasa.

Vijana kutoka kaunti ndogo sita za Mombasa zinazojumuisha Kisauni, Nyali, Mvita, Likoni, Changamwe na Jomvu wameungana kupitia kwa muungano wa mashirika ya kijamii kuhakikisha kwamba hakuna muda unapotezwa na kijana yeyote yule kama njia mojawapo ya kupambana na ugaidi na utumizi wa mihadarati.

Wakiongwa na James Ruwa na Omar Chai wanatoa wito kwa washikadau wa kaunti kuwasombeza vijana katika kuwapa nafasi ya kujiendeleza siyo tu kimawazo ya masomo bali kuwasumuka katika kuona kwamba talanta zao zimeimarika.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in