×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Keroche kuwaelimisha vijana kuhusu biashara

Living

Na Mate Tongola Wakfu wa Keroche utatumia kima cha shilingi milioni hamsini mwaka huu kufanikisha mpango wa kuwapa mafunzo viongozi tisa watakaowahamasisha wafanyabiashara wadogo wadogo nchini. Afisa Mkuu Mtendaji wa Wakfu huo, Njoki Karuoya amesema mradi huo unalenga kuwapa motisha pamoja na mafunzo wafanyabiashara hao na kwamba utaenezwa kwenye pembe mbalimbali barani Afrika. Akizungumza wakati wa mkutano na Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Standard Group, Sam Shollei, Karuoya amesema viongozi hao watakutana na wasimamizi wa biashara, washauri pamoja na wataalamu wenye tajriba katika masuala hayo. Kwa upande wake, Shollei amepongeza hatua za wakfu huo akisema wakati umefika kwa vijana kujihusisha katika biashara mbalimbali ikizingatiwa kuwa nafasi za ajira zimepungua mno nchini.

 

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles