×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mbooni accident followup - swahili

Living

Eneo zima la kawethei lililoko eneo bunge la kangundo lipo katika hali ya kuomboleza vifo vya watu ishirini na saba waliofariki katika ajali ya barabarani huko mbooni, taswira ni kwamba kila boma eneo hilo limefiwa na lile ambalo halijafiwa linaomboleza kifo cha jirani. Mbunge wa kangundo johnston muthama ameahidi kuongoza kamati itakayosomamia gharama ya mazishi ya waliofariki. Na kama damaris kitavi anavyotuelezea, wenyeji wako na wakati mgumu kukabiliana na ukweli wa vifo vya ishirini na saba hao, wote walio na uhusiano kwa njia moja au nyingine.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles