Eneo zima la kawethei lililoko eneo bunge la kangundo lipo katika hali ya kuomboleza vifo vya watu ishirini na saba waliofariki katika ajali ya barabarani huko mbooni, taswira ni kwamba kila boma eneo hilo limefiwa na lile ambalo halijafiwa linaomboleza kifo cha jirani. Mbunge wa kangundo johnston muthama ameahidi kuongoza kamati itakayosomamia gharama ya mazishi ya waliofariki. Na kama damaris kitavi anavyotuelezea, wenyeji wako na wakati mgumu kukabiliana na ukweli wa vifo vya ishirini na saba hao, wote walio na uhusiano kwa njia moja au nyingine.
Mbooni accident followup - swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- There is no single formula for success in marriages
- How to make choices that shape your destiny
- The secret to keeping a good house-help
- No! You can't drink and breastfeed
- Five benefits of bikini waxing
- How to report a superior without risking your job
- Is it possible to forget someone you loved so deeply?
- I recruited her to be my wife
- Why the kitten heel is your wardrobe's best ally
- Nine bad money habits you should leave behind this year
.
Popular this week
- How to make choices that shape your destiny
- There is no single formula for success in marriages
- Can diet improve fertility? What science really says about it
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Untamed Foolery: Woman behind Kenya's viral EQ conversations
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- How to report a superior without risking your job
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Cocktail bar: The Garibaldi
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.