Eneo zima la kawethei lililoko eneo bunge la kangundo lipo katika hali ya kuomboleza vifo vya watu ishirini na saba waliofariki katika ajali ya barabarani huko mbooni, taswira ni kwamba kila boma eneo hilo limefiwa na lile ambalo halijafiwa linaomboleza kifo cha jirani. Mbunge wa kangundo johnston muthama ameahidi kuongoza kamati itakayosomamia gharama ya mazishi ya waliofariki. Na kama damaris kitavi anavyotuelezea, wenyeji wako na wakati mgumu kukabiliana na ukweli wa vifo vya ishirini na saba hao, wote walio na uhusiano kwa njia moja au nyingine.
Mbooni accident followup - swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Your body knows how to detox and here's how to help it naturally
- Easy recipe: Vegetable fried eggs
- Cocktail bar: Salted caramel pecan sour
- It’s the butt curve that matters, not the size
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Are you struggling to wean your baby?
- Easy recipe: Red snapper fish masala
- Five small businesses currently thriving in Kenya
.
Popular this week
- Your body knows how to detox and here's how to help it naturally
- Cocktail bar: Salted caramel pecan sour
- Easy recipe: Vegetable fried eggs
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- To quit or not to quit: Signs you are ready for a career move
- What your smartphone says about you
- How to survive the post-holiday slump
- Can a man say no? Men and their right to consent
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.