×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

KCSE exam prayers

Living

Maandalizi ya mwisho yawatahiniwa wa kidato cha nne yanaendelea katika shule zote za upili nchini kabla kuanza kwa mtihani wa kitaifa wa KCSE siku ya jumanne. Shule kadhaa nchini leo zilifanya maombi maalum kwa watahiniwa hao 431,000 huku wizara ya elimu ikiapa kuyafutilia mbali matokeo ya mwanafunzi atakayepatikana akidanganya.. Hatahivyo baadhi ya wanafunzi wako taabani baada ya kusajiliwa kimakosa masomo ambayo hawakuwa wakiyaosma na kuibua swala kwa uwajibikaji wa tume simamizi ya KNEC

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles