Maandalizi ya mwisho yawatahiniwa wa kidato cha nne yanaendelea katika shule zote za upili nchini kabla kuanza kwa mtihani wa kitaifa wa KCSE siku ya jumanne. Shule kadhaa nchini leo zilifanya maombi maalum kwa watahiniwa hao 431,000 huku wizara ya elimu ikiapa kuyafutilia mbali matokeo ya mwanafunzi atakayepatikana akidanganya.. Hatahivyo baadhi ya wanafunzi wako taabani baada ya kusajiliwa kimakosa masomo ambayo hawakuwa wakiyaosma na kuibua swala kwa uwajibikaji wa tume simamizi ya KNEC
KCSE exam prayers
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Mutura: King of street delicacies
- Demand for sauna in homes on the rise
- Meet the Italian teen with one leg and no hands finding freedom in acrobatic pole dancing
- Lulu Hassan announces the birth of her third born sweetly and peculiarly
- Biscoff Swahili kaimati
- Doing away with school uniform is also an option
- Dull Christmas for William Ruto as ratings fall
- Boost your childs confidence
- When fertility treatments fail: Coping, healing and facing the next chapter
- Judge Ian Mbugua has a surprising side!!! Dotting grandpa
.
Popular this week
- Leave that job you hate without burning bridges
- Drowning in debt? Here's how to break free
- How to make soft and delicious mandazi
- How to wear bold prints with confidence
- Simple trick to get your child to tell you what they did at school
- Did the First Lady raid Uhuru's wardrobe?
- Meet the handsome Alfred Ngachi, the father of Awinja's son
- Learn to speak up without being pushy
- Seven times Neomi Ng’ang’a proved thick is sultry
- How to plan for retirement as early as now
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.