Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Polisi 4 waliohukumiwa kwa kumuua raia wa Uingereza Alexander Manson, waachiliwa

Mahakama ya Rufaa jijini Mombasa imewaachilia huru mafisa wote wanne waliopatikana na hatia ya mauaji ya raia wa Uingereza, Alexander Monson.

Tarehe 15 mwezi Novemba Mahakama Kuu jijini Mombasa iliwafunga jela wanne hao baada ya kuwapata na hatia ya kumuua bila kukuudia Alexander aliyepatikana amefariki dunia katika seli ya Kituo cha Polisi cha Diani kwenye Kaunti ya Kwale mwaka 2012.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News