The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mahakama ya Rufaa jijini Mombasa imewaachilia huru mafisa wote wanne waliopatikana na hatia ya mauaji ya raia wa Uingereza, Alexander Monson.
Tarehe 15 mwezi Novemba Mahakama Kuu jijini Mombasa iliwafunga jela wanne hao baada ya kuwapata na hatia ya kumuua bila kukuudia Alexander aliyepatikana amefariki dunia katika seli ya Kituo cha Polisi cha Diani kwenye Kaunti ya Kwale mwaka 2012.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…