×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Premium
Kamati ya Leba yapendekeza kupunguzwa kwa miaka ya kustaafu

Kamati ya Bunge ya Leba sasa inapendekeza kupunguzwa kwa umri wa kustaafu kutoka miaka 60 hadi 55.
By Mike Nyagwoka 2023-08-04 14:29:31
DCI kuchunguza sakata ya ulaghai wa masomo ya Finland, Uasin Gishu
By Carren Omae 2023-07-14 19:21:39
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutetea Haki za Binadamu limeelezea wasiwasi kuhusu ghasia ambazo zimeripotiwa humu nchini
By Carren Omae 2023-07-14 19:15:31
Idara ya Upelelezi DCI imeendelea kuibua taarifa ambazo zinaashiria utata katika safari ya watatu hao kuja Kenya wakisemekana kuwa wafanyakazi wa kampuni iliyopewa kusimamia teknolojia.
By Carren Omae Na Victor Mulama
Jul. 24, 2022
Katibu Mkuu wa Chama cha UDA, Veronica Maina amesisitiza kwamba Kenya Kwanza itafanya mkutano wake tarehe 6 Agosti katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo.
By Esther Kirong'
Jul. 23, 2022
Serikali imeanza rasmi kutoa chanjo dhidi ya homa ya manjano yaani yellow Fevor kwa wakazi wa Kaunti ya Isiolo na Garissa.
By Carren Omae
Jul. 23, 2022
Waziri wa Elimu Profesa George Magoha ameshtumu vikali kisa ambapo mwalimu anasemekana kumpa adhabu ya viboko mwanafunzi
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, IEBC Wafula Chebukati ameshtumu kukamatwa kwa maafisa watatu wa Kampuni ya  Smartmatic International BV katika JKIA.
Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amepata afueni baada ya Mahakama Kuu ya Mombasa kutupilia mbali kesi iliyowasilishwa ya kuitaka kumzuia kugombea Ugavana wa Kilifi, Agosti 9
By Robert Menza
Jul. 21, 2022
Mwanamume mwenye umri wa miaka 45 amefungwa jela kwa miaka 45 baada ya kukiri kosa la kumnajisi mtoto wa miaka miwili.
By Vivian Kirui
Jul. 21, 2022
Mwili wa mwanamme mmoja umepatikana mapema leo hii katika eneo la Nkaimurunya, Kaunti ya Kajiado.
By Vivian Kirui
Jul. 21, 2022
Mrengo wa Naibu wa Rais William Ruto umetoa taarifa kuhusu namna mdahalo wa wagombea wenza wa urais ulivyofanyika wiki hii
By Sam Amani
Jul. 21, 2022