Abraham Serem ndiye Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya KenGen baada ya kuteuliwa kushikilia wadhifa huo. Serem anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rebecca Miano ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Maeneo Kame na Maendeleo katika Maeneo. Katika notisi iliyochapishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Kengen, Samson Mwathethe kwenye magazeti ya humu nchini leo hii, imesema kwamba Serem atahudumu katika wadhifa huo hadi wakati mtu mwingine atakapoteuliwa kwa wadhifa huo. Serem amekuwa akihudumu katika wadhifa wa Meneja Mkuu vilevile mkuu wa wafanyakazi tangu Machi mwaka 2016. Ana tajriba ya miaka 20 katika kitengo cha kuwahudumia wafanyakazi, HR.
Premium
Abraham Serem Ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa KenGen
Living
By Beatrice Maganga| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Celebrity relationships we are in love with
- I was raped by my cousin when I was 10 years old
- The nailing wonder truth
- Few things men should change to get the girl they want
- How to trick your body and mind into losing weight
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Brazil coach Tite gives Neymar injury update
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- How to tell if he's really interested or not
- President Ruto asks his cabinet to travel, explore Kenya
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- Sister-in-law from hell
- 10 Food tips to help you fight insomnia
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Throw back photos of socialite Huddah Monroe that will excite you
- How prostitutes use black magic to attract and keep city men
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Meghan Markle Pregnant! Will the seventh in line to the throne be a boy or a girl?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.