Abraham Serem ndiye Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya KenGen baada ya kuteuliwa kushikilia wadhifa huo. Serem anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rebecca Miano ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Maeneo Kame na Maendeleo katika Maeneo. Katika notisi iliyochapishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Kengen, Samson Mwathethe kwenye magazeti ya humu nchini leo hii, imesema kwamba Serem atahudumu katika wadhifa huo hadi wakati mtu mwingine atakapoteuliwa kwa wadhifa huo. Serem amekuwa akihudumu katika wadhifa wa Meneja Mkuu vilevile mkuu wa wafanyakazi tangu Machi mwaka 2016. Ana tajriba ya miaka 20 katika kitengo cha kuwahudumia wafanyakazi, HR.
Premium
Abraham Serem Ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa KenGen
News
By Beatrice Maganga
| Oct. 29, 2022 | 1 Min read
.
Trending Now
- Five must haves for a healthy relationship
- List: JSC submits 20 names for High Court judge appointment
- Five signs that a woman is madly in love with you
- The last words of Kyrzayda Rodriguez, famous fashion blogger who succumbed to cancer
- Jacky Vike aka Awinja opens up about her childhood and motherhood journey
- Win for Gladys Shollei as court rules her sacking was unfair
- Find ways to finish this month on top
- Why you should stop trying to be ‘the perfect parent’
- Can the court compel me to do a DNA test?
- Kenya Kwanza must deliver its security pledge
.
Popular this week
- Tyre Nichols' brutal beating by police shown on video
- Ways women compromise health for beauty
- 4 reasons why single women prefer dating married men
- Marriage unravels: Women want a child, not the man
- Claims of devil worship and homosexuality rock PCEA
- Boniface Mwangi: I had intercourse once, and was kicked out of church!
- Kenyans increasingly acknowledging the existence of skin tone discrimination
- Model Eudoxie Yao announces breakup from tycoon Grand P
- Akothee appoints eldest daughter to plum post in her company
- Blending business with leisure at airport hotels
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.