Abraham Serem ndiye Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya KenGen baada ya kuteuliwa kushikilia wadhifa huo. Serem anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rebecca Miano ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Maeneo Kame na Maendeleo katika Maeneo. Katika notisi iliyochapishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Kengen, Samson Mwathethe kwenye magazeti ya humu nchini leo hii, imesema kwamba Serem atahudumu katika wadhifa huo hadi wakati mtu mwingine atakapoteuliwa kwa wadhifa huo. Serem amekuwa akihudumu katika wadhifa wa Meneja Mkuu vilevile mkuu wa wafanyakazi tangu Machi mwaka 2016. Ana tajriba ya miaka 20 katika kitengo cha kuwahudumia wafanyakazi, HR.
Premium
Abraham Serem Ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa KenGen
Living
By Beatrice Maganga| 1 year ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Everything you need to know about laser hair removal
- Benefits of chewing gum
- Benefits of taking peaches
- Protective hairstyles to try this rainy season
- Protective hairstyles to try this rainy season
- I'm into him, but he does not notice me
- Dating then was very different from what it is now
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Former TV Presenter Peter Oyier: Why I went off your screens
- Confessions: I gave my neighbour’s teenage daughter more than a lift to town
.
Popular this week
- Easy recipe: Rib-eye steak
- Dating then was very different from what it is now
- Protective hairstyles to try this rainy season
- Benefits of taking peaches
- Wellness: Is online therapy worth it?
- Benefits of chewing gum
- How to tell what kind of a lover he is
- Don't let stress sabotage your children's diet
- I'm into him, but he does not notice me
- My daddy is my lover: He broke my virginity
.
Similar Articles
.