Abraham Serem ndiye Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya KenGen baada ya kuteuliwa kushikilia wadhifa huo. Serem anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rebecca Miano ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Maeneo Kame na Maendeleo katika Maeneo. Katika notisi iliyochapishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Kengen, Samson Mwathethe kwenye magazeti ya humu nchini leo hii, imesema kwamba Serem atahudumu katika wadhifa huo hadi wakati mtu mwingine atakapoteuliwa kwa wadhifa huo. Serem amekuwa akihudumu katika wadhifa wa Meneja Mkuu vilevile mkuu wa wafanyakazi tangu Machi mwaka 2016. Ana tajriba ya miaka 20 katika kitengo cha kuwahudumia wafanyakazi, HR.
Premium
Abraham Serem Ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa KenGen
Living
By Beatrice Maganga| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Family, strict upbringing made me who I am – Maasai Mara Vice Chancellor
- I slept with my sister's husband while she was away and can't stop thinking about it
- How to ensure your safety on a date
- Mary Njeri: How I beat breast cancer
- Ruto promises to abolish Helb, set up funding body
- Why men need their version of Kilimani Mums Uncensored
- Hair trends: Human hair braid is a win
- Five natural homemade face masks
- Never date a journalist unless it's an emergency!
- 'I WAS IN ALLIANCE' wasn't something said by Wannabes
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Meghan Markle Pregnant! Will the seventh in line to the throne be a boy or a girl?
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- Terere: Superfood for glowing skin
- Sister-in-law from hell
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Throw back photos of socialite Huddah Monroe that will excite you
- Reasons why your man has a low sexual drive
- 10 Food tips to help you fight insomnia
- How prostitutes use black magic to attract and keep city men
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.