Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 3 bags every lady must have
- Marry women from these places at your own risk
- Kenyan model to marry Nelson Mandela’s ‘bad boy’ grandson?
- Truth about diet, sex drive and reproductive health
- The University Sex League where students with the most sexual partners during their degree win
- Matoke with peanut sauce
- In a hyper-connected world, who is protecting you?
- The chores debate: Are you raising entitled children?
- He’s a star on the motocross track
- Michael Olunga Football Academy: Olunga to partner with Kisumu Day High School to mentor future footballers
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Being your own boss:City residents turn to home based business for survival
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- From Obesity to Vitamins deficiency: Here are five birth defects in relation to a mother's nutrition
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Easy recipe: Delicious coconut eggplant
- Tears I have cried for you flood the earth- Singer Big Pin mourns his big brother
- How to support a loved one with cancer
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.