Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- I make money giving mental health wellness care to kids
- Kericho, the countryside of majestic wonders
- Dorcas Rigathi: From house help to spouse of Deputy President
- #MCM: Is this Kenya’s hottest rugby player?
- Coconut ‘dengu’ & sweet potato stew
- Mad love 26 years on: The love story of gospel singer Sarah K and her Pastor hubby Samuel Mwangi
- How to prevent your child from getting fluorosis
- Ways to turn that career break into growth
- From braids to wigs: The many faces of African hairstyles
- Weight affects sexual function in women
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Being your own boss:City residents turn to home based business for survival
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- From Obesity to Vitamins deficiency: Here are five birth defects in relation to a mother's nutrition
- Why Kisiis unapologetically roast ‘witches’
- 3 bags every lady must have
- Easy recipe: Delicious coconut eggplant
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.