Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| Jan. 12, 2023 | 1 Min read
.
Trending Now
- Top tier Luo family: The public service streak of the Josiahs
- Easy recipe: Coleslaw salad
- Nurse who takes pride embracing children with HIV, sickle cell disease
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Dear ladies, a man spends where his heart is
- Confessions: My husband says the sex is not enough
- What you need to know before installing dreadlocks
- Interview mistakes you shouldn't make
- Is your partner insecure? How to increase your partner’s satisfaction
- Serena: Amount of money we charged 'Cherera Four' to use our hotel
.
Popular this week
- December holiday indulgences that can cause serious health problems
- Nurse who takes pride embracing children with HIV, sickle cell disease
- Why women thrive on compliments
- Easy recipe: Coleslaw salad
- Do office romances make marriages better?
- Easy recipe: Creamy mashed potatoes
- Have your own money first before going out
- Things you should always have when travelling solo
- Are you stuck in a rut?
- 13 top tips on dating a Kenyan girl
.
Similar Articles
.