Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- When life hits hard: A blueprint for growth
- Being your own boss:City residents turn to home based business for survival
- Kenya Tourism Board responds to criticism following Eddy Kenzo’s appointment as ambassador
- Taraji P Henson takes action to address mental illness among black people after her dad struggled with the condition
- How to pamper your natural mane
- You are the maid, the rest are assistants - 7 Truths you were not told about motherhood
- Embracing conservative
- 'I live for myself': Why Ainam Chamere Ashley chose tubal ligation at 24
.
Popular this week
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Being your own boss:City residents turn to home based business for survival
- Cheating man? Here's how to secure your future
- Hermaphrodite or Intersex? Raising an intersex child
- Kenyan women reveal heartbreak and disappointment in the hands of money hungry lovers
- Examiners sacked after dispute at KCSE marking centre over pay
- Is your natural hair turning brown? This is why
- "How Tattoos saved my life"
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.