×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Boko Haram na donda la ugaidi Nigeria kaskazini

Living

Jopo la Boko Haram kusababisha maafa nchini Nigeria kaskazini kila kukicha ni jambo la kusikitisha sana. Kufaulu kwa Rais Muhammadu Buhari kwenye uchaguzi Nigeria kunatoa matarajio mapya ya kupata suluhu kwa jambo hili lililokumba nchi nzima ya Nigeria.

Linaloshangaza ni kwamba kikundi kidogo cha magaidi kama Boko Haram linaweza kusababisha maafa vile wamefanya eneo za Borno na Maiduguri. Ukinoa bongo, inaonekana bayana kwamba kunao maafisa kwenye idara za kiusalama Nigeria wanaounga mkono wanamgambo wa Boko Haram.

Jumuia ya kimataifa yakiwemo Chad, Niger na Cameroon zimetia motisha juhudi za Nigeria kuangamiza Boko Haram. Uongozi wa Bwana Buhari utapata pigo kubwa asipoweza kutatua bughdha inayosababishwa na Boko Haram. Serikali ya Bwana Jonathan ilifeili kwenye uchaguzi kwa kutowajibika kukumbana na matatizo ya Nigeria hususan janga la Boko Haram.

Itabidi Bwana Buhari anoe bongo na kuongeza maarifa jitihada zote za kidiplomasia, kijeshi na kikatiba kumaliza donda ndugu la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles