Rais mwai kibaki ametoa majina ya watu tisa wanaosubiri kuidhinishwa na bunge kuchukua nafasi ya mwenyekiti na makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka. Isaack hassan amependekezwa kuwa mwenyekiti wa tume hiyo huku yusuf nzibo, abdullahi sharawe, thomas letangule, mohammed alawi, lilian mahiri, muthoni wangai, albert bwire na kule galma godana wakipendekezwa kuchukua wadhifa wa makamishna wa tume hiyo.huku hayo yakijiri utata mpya umeibuka kuhusiana na kubuniwa kwa maeneo mapya 80 jinsi ilivyonakiliwa kwenye katiba mpya huku wizara ya sheria ikisema kuwa itakuwa vigumu kwa maeneo hayo kubuniwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Isaack to chair IEBC
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Ladies, a man spends money where his heart is
- Biscoff Swahili kaimati
- Teach your children good values at an early age
- How much women in Nairobi are spending to satisfy their sexual needs
- Beyoncé is now the highest paid artiste
- OPINION: Not all Kisii men are bad, just yours!
- I have heard rumours about my husband sleeping around with other women. Should I confront him?
- Why most women 'marry their dads'
- Donald Trump to be allowed back on Facebook after 2-year ban
- Kinky bedroom activities every couple should try
.
Popular this week
- What you need to know about the new anti-HIV jab
- Biscoff Swahili kaimati
- Why this school holiday is your best chance to reconnect with your child
- Sexual Healing: Just like the weather, sex has its seasons
- How to rebuild connection after letting others down
- Vera Sidika shares 'first part' of supposed BBL reversal surgery
- Farouk Kibet: Ruto's powerful right hand man
- Why maroon is the new neutral you need in your closet
- Banana, the happy fruit rich in energy
- Cocktail bar: Mango Margarita
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.