×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Isaack to chair IEBC

Living
Rais mwai kibaki ametoa majina ya watu tisa wanaosubiri kuidhinishwa na bunge kuchukua nafasi ya mwenyekiti na makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka. Isaack hassan amependekezwa kuwa mwenyekiti wa tume hiyo huku  yusuf nzibo, abdullahi sharawe, thomas letangule, mohammed alawi, lilian mahiri, muthoni wangai, albert bwire na kule galma godana wakipendekezwa kuchukua wadhifa wa makamishna wa tume hiyo.huku hayo yakijiri utata mpya umeibuka kuhusiana na kubuniwa kwa maeneo mapya 80 jinsi ilivyonakiliwa kwenye katiba mpya huku wizara ya sheria ikisema kuwa itakuwa vigumu kwa maeneo hayo kubuniwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles