Rais mwai kibaki ametoa majina ya watu tisa wanaosubiri kuidhinishwa na bunge kuchukua nafasi ya mwenyekiti na makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka. Isaack hassan amependekezwa kuwa mwenyekiti wa tume hiyo huku yusuf nzibo, abdullahi sharawe, thomas letangule, mohammed alawi, lilian mahiri, muthoni wangai, albert bwire na kule galma godana wakipendekezwa kuchukua wadhifa wa makamishna wa tume hiyo.huku hayo yakijiri utata mpya umeibuka kuhusiana na kubuniwa kwa maeneo mapya 80 jinsi ilivyonakiliwa kwenye katiba mpya huku wizara ya sheria ikisema kuwa itakuwa vigumu kwa maeneo hayo kubuniwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Isaack to chair IEBC
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 2 children die in explosion after tinkering with RPG in Mandera
- How Mwai Kibaki's big sister Esther Waitherero helped raise him
- Smriti Vidyarthi flaunts baby bump days after taking a break from the screens
- Easy recipe: Soft life with Coastal layered chapatis
- The women issues everyone ignores in Kenya
- Making New Year’s resolutions stick!
- NASA astronaut Christina Koch returning to Earth after record space station mission
- Child care: First year milestones
- Is it normal to feel this lonely while married?
- Frequent sex equals happy, attentive, caring husband but...
.
Popular this week
- Is it normal to feel this lonely while married?
- Everyday habits that can help you build long-term wealth
- Boyfriend cheating on me with mum and impregnates both of us
- International Women's Day: Colours that tell the story of women's rights
- I have heard rumours about my husband sleeping around with other women. Should I confront him?
- International Women's Day: Women who rise, lift and lead
- Why maroon is the new neutral you need in your closet
- Don't let confusing parenting advice scare you
- Cocktail bar: Banana Daquiri
- Three way to rock the bob style
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.