Rais mwai kibaki ametoa majina ya watu tisa wanaosubiri kuidhinishwa na bunge kuchukua nafasi ya mwenyekiti na makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka. Isaack hassan amependekezwa kuwa mwenyekiti wa tume hiyo huku yusuf nzibo, abdullahi sharawe, thomas letangule, mohammed alawi, lilian mahiri, muthoni wangai, albert bwire na kule galma godana wakipendekezwa kuchukua wadhifa wa makamishna wa tume hiyo.huku hayo yakijiri utata mpya umeibuka kuhusiana na kubuniwa kwa maeneo mapya 80 jinsi ilivyonakiliwa kwenye katiba mpya huku wizara ya sheria ikisema kuwa itakuwa vigumu kwa maeneo hayo kubuniwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Isaack to chair IEBC
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 21 ways to spice up your intimacy life when you're over 45
- When you have a sister-in-law from hell
- Karume's 'son' stopping burial
- Headache for candidates as schools are crowded, others shut down
- Why you should get your baby out of your bed from day one
- Practical tips to manage excessive sweating
- 10 Ways you can use toothpaste to achieve a perfect skin
- 5 effective ways to deal with Eczema
- Trendy fashion: The little white dress
- Sakaja: Five things I must improve in Nairobi
.
Popular this week
- Why women should have a girl code
- Judge queries firm’s quest for justice after 14 suits in 17 years
- How to pamper your natural mane
- Why you should look at your poo before you flush
- Why every woman needs that one red dress
- Chelsea's Jose Mourinho reveals when he would quit Chelsea
- How to deal with sibling rivalry
- When you have a sister-in-law from hell
- Karume's 'son' stopping burial
- Headache for candidates as schools are crowded, others shut down
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.