×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

KUPPET yazitetea shule zilizoimarika katika KCSE, 2022

Living

Chama cha Kitaifa cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri KUPPET kimezitetea baadhi ya shule ambazo matokeo yake ya mitihani ya Kitaifa ya Kidato cha Nne mwaka jana, yaliimarika pakubwa kulinganishwa na awali.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Akello Misori, amesema kuna uwezekano mkubwa kwa matokeo ya watahiniwa kutofautiana kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali; mfano kuimarisha hali ya masomo na hata kubadilishwa kwa walimu na wakati mwingine watahiniwa kuwa werevu kulinganishwa na watangulizi wao.

Akihojiwa katika Spice FM Misori Misori amesema hatua ya watu kuibua maswali kuhusu matokeo mazuri kunaweza kuwafanya walimu na watahiniwa kufa moyo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles