×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Savula ajitangaza kuwa Gavana Mwenza wa Kakagema

Living

Naibu Gavana wa Kakamega Ayub Savula anadai kuwa yeye ana mamlaka sawa na Gavana Fernandes Barasa waliochaguliwa naye kupitia chama cha ODM.

Kulingana na Savula, Serikali ya Kaunti ya Kakamega imegawanywa sehemu mbili huku yeye akiongoza mrengo mmoja na Barasa mrengo mwingine.

Katika nafasi za mawaziri wa kaunti, Savula anasema walielewana na Barasa kwamba yeye atateua nusu ya mawaziri.

Kutokana na hilo, Savula sasa hataki kutambuliwa kama Naibu gavana badala yake anapendekeza kuitwa gavana mwenza yani Co-govenor wa Kakamega.

Jumapili, Savula alidai kwamba alishurutishwa kumuunga mkono Raila Odinga wa chama cha Muungano wa Azimio, katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 na kwamba sasa anamuunga mkono William Ruto ambaye anasubiri kuapishwa kuwa rais wa tano wa Kenya.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles