Na, Suleiman Yeri, IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi Tofauti na miaka ya awali ambapo matokeo ya kura ya urais yaliyowasilishwa Bomas yalitangazwa huku mengine yakisubiriwa, Tume ya Uchaguzi IEBC inasema wakati huu, mtindo tofauti utatumiwa. Afisa mkuu mtendaji wa IEBC, Ezra Chilobah amesema badala ya kutoa matangazo ya mara kwa mara ya matokeo ya kura za urais yanayofika Bomas, tume hiyo sasa inasema haitatoa tangazo lolote bali itasubiri hadi ipokee na kujumlisha matokeo kutoka maeneo bunge yote 290 nchini, kisha kutoa tangazo kuhusu idadi jumla, vilevile mshindi wa kura ya urais. Chilobah ameongeza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kuwa matokeo yatakayo tangazwa katika maeneo bunge ndiyo yatakayo kuwa rasmi na hivyo hawatakuwa na ulazima wakuyatangaza tena. Wakati uo huo amesema kuwa Kituo cha kitaifa cha kukusanya matokeo ya uchaguzi katika Ukumbi wa Bomas kitakuwa tayari kufikia mwishoni mwa wiki hii. Aidha hii ni mara ya pili kwa ukumbi huo wa tamasha za kitamaduni kutumika kuwa kituo cha kitaifa cha kukusanyia matokeo ya uchaguzi na ulifungwa kuanzia terehe 28 mwezi juni ili kutoa fursa kwa ujenzi wa matumizi ya Tume hiyo.
IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Beef mshikaki
- Witness narrates how Nairobi businessman was killed in Kilimani bedroom
- How do I handle my annoying boyfriend?
- Why waiting to get sick is a risk we can't afford
- Easy recipe: Potato salad and chicken tikka
- Bank dollar market rate hits record Sh134 on high demand
- A Valentine proof guide for the lonely hearts: Val’s or not, your life must go on.
- Change lifestyle to cope with harsh economy
.
Popular this week
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- How to report a superior without risking your job
- Fathers must help kids discover talent
- TV hunk Nick Mutuma shows off new model girlfriend at Nairobi Fashion Week
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Why married women cheat 'smarter' than men
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Harry and Meghan's celeb pals help them decide on best school for son Archie
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.