Na, Suleiman Yeri, IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi Tofauti na miaka ya awali ambapo matokeo ya kura ya urais yaliyowasilishwa Bomas yalitangazwa huku mengine yakisubiriwa, Tume ya Uchaguzi IEBC inasema wakati huu, mtindo tofauti utatumiwa. Afisa mkuu mtendaji wa IEBC, Ezra Chilobah amesema badala ya kutoa matangazo ya mara kwa mara ya matokeo ya kura za urais yanayofika Bomas, tume hiyo sasa inasema haitatoa tangazo lolote bali itasubiri hadi ipokee na kujumlisha matokeo kutoka maeneo bunge yote 290 nchini, kisha kutoa tangazo kuhusu idadi jumla, vilevile mshindi wa kura ya urais. Chilobah ameongeza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kuwa matokeo yatakayo tangazwa katika maeneo bunge ndiyo yatakayo kuwa rasmi na hivyo hawatakuwa na ulazima wakuyatangaza tena. Wakati uo huo amesema kuwa Kituo cha kitaifa cha kukusanya matokeo ya uchaguzi katika Ukumbi wa Bomas kitakuwa tayari kufikia mwishoni mwa wiki hii. Aidha hii ni mara ya pili kwa ukumbi huo wa tamasha za kitamaduni kutumika kuwa kituo cha kitaifa cha kukusanyia matokeo ya uchaguzi na ulifungwa kuanzia terehe 28 mwezi juni ili kutoa fursa kwa ujenzi wa matumizi ya Tume hiyo.
IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Hermaphrodite or Intersex? Raising an intersex child
- Kenyan women reveal heartbreak and disappointment in the hands of money hungry lovers
- "How Tattoos saved my life"
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Why Kisiis unapologetically roast ‘witches’
- How I started online grocery sales services
- Zari threatens to sue Ugandan hotel over leaked photos
- Ronaldo scores on return, Man United beat Sheriff 3-0 in Europa League
- 16 Days of Activism against GBV: Why lovers kill each other
.
Popular this week
- MPs demand end to delocalisation of teachers
- Cheating man? Here's how to secure your future
- Hermaphrodite or Intersex? Raising an intersex child
- Kenyan women reveal heartbreak and disappointment in the hands of money hungry lovers
- "How Tattoos saved my life"
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Making homemade samosas
- The story of Mary Leakey: The paleoanthropologist in all our History books
- Why Kisiis unapologetically roast ‘witches’
- Avoid peer pressure, having children is a personal decision
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.