Na, Suleiman Yeri, IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi Tofauti na miaka ya awali ambapo matokeo ya kura ya urais yaliyowasilishwa Bomas yalitangazwa huku mengine yakisubiriwa, Tume ya Uchaguzi IEBC inasema wakati huu, mtindo tofauti utatumiwa. Afisa mkuu mtendaji wa IEBC, Ezra Chilobah amesema badala ya kutoa matangazo ya mara kwa mara ya matokeo ya kura za urais yanayofika Bomas, tume hiyo sasa inasema haitatoa tangazo lolote bali itasubiri hadi ipokee na kujumlisha matokeo kutoka maeneo bunge yote 290 nchini, kisha kutoa tangazo kuhusu idadi jumla, vilevile mshindi wa kura ya urais. Chilobah ameongeza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kuwa matokeo yatakayo tangazwa katika maeneo bunge ndiyo yatakayo kuwa rasmi na hivyo hawatakuwa na ulazima wakuyatangaza tena. Wakati uo huo amesema kuwa Kituo cha kitaifa cha kukusanya matokeo ya uchaguzi katika Ukumbi wa Bomas kitakuwa tayari kufikia mwishoni mwa wiki hii. Aidha hii ni mara ya pili kwa ukumbi huo wa tamasha za kitamaduni kutumika kuwa kituo cha kitaifa cha kukusanyia matokeo ya uchaguzi na ulifungwa kuanzia terehe 28 mwezi juni ili kutoa fursa kwa ujenzi wa matumizi ya Tume hiyo.
IEBC kubadili mtindo wa kutangaza matokeo ya uchaguzi
Living
By | 9 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Secret ingredient to a happier relationship? Playfulness
- Food scientist Sara Ahlberg: Pasta is my superfood
- Why men don't forgive cheating
- How to make choices that shape your destiny
- 7 expectations every woman should have in relationship
- Folks, pubic hair has its job, stop shaving and leave the bush alone!
- 10 manners your kids should learn
- Five foods likely to damage your teeth
- My hubby knows I had my last born from an affair
- Don’t do it for fame: Raymond Ofula’s tale to success
.
Popular this week
- Could cycle syncing work for you?
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Easy recipe: Cheesy baked pasta
- Easy recipe: Pilau ya Jodar
- Secret ingredient to a happier relationship? Playfulness
- Are you being ghosted? Here are subtle slow-fade signs
- 3 signs your partner is not the one
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- 'Ten surgeries and 15 years of pain, but I still believe'-Tabitha Gitonga
- When should you escalate a workplace problem?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.