×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Abuse During Delivery

Living
Shirika la Marekani la maendeleo ya nchi zinazoendelea usaid limeorodhesha taifa la Kenya kama linaloongoza kwa dhuluma na ukosefu wa heshima kwa akina mama wanapojifungua katika vituo vya kimatibabu vya umma, kupitia matusi na vitisho. Shirika hilo limeanzisha uchunguzi utakao gharimu dola milioni moja nukta mbili, unaotarajiwa kutoa mikakati itakayopunguza visa vya dhuluma dhidi ya wanawake wakati wanapojifungua damari kitavi amezungumza na akina mama kadhaa kuhusiana na masaibu wanayopitia akina mama, na taarifa zao ni za kuvunja nyoyo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles