×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Army sergent killed-Swahili

Living
Afisa mmoja wa kijeshi kwa jina Peter Njiiru Macharia ameuawa katika hali ya kutatanisha huko  Nyathuna ,Kabete katika eneo bunge la Kikuyu . Mwili wa afisa huyo ulipatikana mapema asubuhi ya leo mita chache kutoka nyumbani mwake baada ya kudaiwa kushiriki kwenye unywaji pombe usiku wa kuamkia leo. Wenyeji wa eneo hilo wametaka walinda usalama kudhibiti unywaji pombe unaodaiwa kuongezeka mno.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles