Kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo amesema kwamba atawataja watu sita miongoni mwao viongozi wa ODM na PNU na hata wafanyibiashara ifikapo mwezi ujao kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mkuu uliopita.Aidha Ocampo amesema mahakama ya icc itahakikisha hatua kali zimechukluliwa dhidi ya wale waliopanga vita hivyo vilivyopelekea vifo vya watu takriban 1300 na zaidi ya nusu milioni kukosa makao. Vilevile akaongezea kwamba wanasiasa walioenda Hague hawatozuia mahakama hiyo kufanya uchunguzi huru dhidi ya ghasia hizo .
Ujumbe Wa ICC
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Rihanna and sons shine at 'Smurfs' premiere
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Easy recipe: Beef chuck rice combo
- Little known facts about Caroline Wanjiru Karugu, the newly nominated Nyeri County Deputy Governor
- Your health is your business
- Seven valuable life skills you need to teach your teen
- Singer Diamond flaunts his electric skateboard that has celebrites from Chris brown to Justin Bieber quit walking
- How to get a man hooked up
- My word: Why gender balance can’t wait
- African women redefining the global soundscape
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Coffee farmers double earnings with Kenya’s first direct export
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Fashion Friday Inspo: Joyce Omondi Waihiga, elegance and grace
- Meet Africa’s first female Dreamliner captain Irene Koki, set to fly President Uhuru in KQ’s inaugural US flight
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- 12 ways to make your man more romantic
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.