Wataalam katika sekta ya Afya wanatoa wito kwa serikali na washikadau wengine kushirikiana kufadhili ili kufanikisha mipango ya kutoa chanjo na ukaguzi dhidi ya ugonjwa wa saratani.
Rais wa Muungano wa Wataalam wa Afya ya Uzazi Kenya Obstetrical Gynaecological Society Kireki Omanwa amesema kuna haja kwa kuwapo kwa mpango wa kitaifa wa kuwapa chanjo wanawake na wasichana dhidi ya virusi vya Human papillomavirus HPV ili kuzuia saratani ya kizazi.
Akihojiwa katika Spice FM mapema leo, Omanwa anasema licha ya wataalam hao wa afya kushauri wasichana wa kati ya miaka tisa na kumi na minne kupata chanjo hiyo, idadi ya wanaojitokeza kuchanjwa ni ya chini mno.
Facts First
Unlock bold, fearless reporting, exclusive stories, investigations, and in-depth analysis with The Standard INSiDER subscription.
Already have an account? Login
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.