×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Kulikuwa na form mbili za 34A; moja haikuwa halali -Cherera

Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, IEBC Juliana Cherera amewasilisha majibu yake kuhusu kesi ya kupinga ushindi wa Rais Mteule, William Ruto. Cherera amedai kwamba kulikuwa na aina mbili za fomu 34A nyingine ambayo Cherera amesema haikuwa halali. Pia amedai kwamba matokeo katika maeneo mbunge 27 hayakuthibitishwa kabla ya kutangazwa. Amesema matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati yalikuwa yake binafsi wala si matokeo ya tume.

Mbali na hayo amedai kwamba tangu wateuliwe katika IEBC pamoja na makamishna wengine ambao ni Justus Nyang'aya, Irene Masit na Francis Wanderi hawajakuwa wakihusishwa ifaavyo katika kufanya maamuzi mbalimbali.

Cherera amedai kwamba Chebukati amekuwa akiwahamisha maafisa wa uchaguzi bila kuwahusisha makamishna vilevile kutofanya mkutano wa kujadili namna ya kutekeleza mapendekezo ya kampuni ya KPMG iliyofanya ukaguzi wa sajili ya wapiga-kura.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles