×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kambi ya Kukabili Wizi wa Mifugo yavamiwa Mandera

Living

Washukiwa wa kundi gaidi la Al-Shabaab wamevamia kambi ya Maafisa wa Polisi wa Kitengo cha Kukabili Wizi wa Mifugo, Anti-Stock Theft Unit kwenye eneo la Kotulo katika Kaunti ya Mandera.

Maafisa 3 wamejeruhiwa na bomu lililotegwa na washukiwa wakati wa uvamizi huo.

Maafisa wa usalama kutoka Wajir wametumwa katika eneo hilo la Kotulo ili kudumisha usalama na kuwasaka washukiwa hao.

Mengi yaja....

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles