×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Shule kufungwa Agosti, 6 kupisha uchaguzi mkuu

Living

Shule zote nchini zitafungwa kwa muda kuanzia tarehe 6 mwezi Agosti ili kupisha shughuli ya uchaguzi mkuu wa wiki ijayo.

Akizungumza katika Shule ya Upili ya Alliance, Waziri wa Elimu Profesa George Magoha amesema shule zitafungwa kwa siku 9 hadi Agosti tarehe 15 kwa kuwa nyingi zinatumika kama vituo vya kupigia kura.

Hata hivyo amesema iwapo kutafanyika duru ya pili ya uchaguzi wa basi shule zitasalia kufungwa hadi ikamiike. Amesema maandalizi ya mitihani ya kitaifa ambayo imeratibiwa kufanyika Novemba mwaka huu yanaendelea akisema iwapo shughuli za masomo zitaathirika sana na uchaguzi mkuu, basi washikadau katika sekta ya elimu watafanya jadiliano iwapo mitihani hiyo itafanyika au itaahirishwa.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles