Na, Beatrice Maganga Maraga awasihi wanasiasa kutoiingilia mahakama Jaji Mkuu, David Maraga ametoa wito kwa wanasiasa kujiepusha na mienendo yenye uwezo wa kuhitifaliana na utendakazi wa majaji. Katika kikao na wanahabari, Maraga ametoa mfano wa kisa ambapo Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, Adan Duale alimkosoa hadharani jaji George Odunga kuhusu maamuzi mbalimbali ambayo amekuwa akifanya. Aidha amekitaja kisa cha Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto kudai kwamba upinzani ulikuwa ukishirikiana na mahakama kuhakikisha uchaguzi mkuu unaahirishwa kupitia kesi mbalimbali zilizowasilishwa mahakamani. Maraga aidha amesema kila jaji ana uhuru wa kufanya maamuzi katika kesi mbalimbali zilizo mbele yake bila shinikizo la aina yoyote. Aidha amesisitiza kwamba idara ya mahakama i tayari kuzishughulikia kesi mbalimbali zitakazowasilishwa mbele yake kuhusu uchaguzi mkuu.
Maraga awasihi wanasiasa kutoiingilia mahakama
Living
By | Aug. 2, 2017 | 1 Min read
.
Trending Now
- Why women are prone to UTIs
- Why women are prone to UTIs
- Benefits of using rose water on your skin
- How to travel with children
- Six ways to an ’80s Christmas
- What you should know before buying Mazda CX-5 diesel
- Reasons you feel sleepy in the afternoon
- I am a volleyball prisoner: David Lung'aho
- How to poach an egg
- Rev Odonya: Bishop-elect given heroic farewell ahead of big day
.
Popular this week
- Five factors to consider before dyeing your hair
- From Tina Turner to Dolly Parton, body parts insured for millions
- Reasons you feel sleepy in the afternoon
- Why some women experience heavy menstruation
- Easy recipe: Juicy rib-eye steak with sukuma
- My sister's fight with cancer led me down this path
- What you should know before buying Mazda CX-5 diesel
- How to travel with children
- Why women are prone to UTIs
- Benefits of using rose water on your skin
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.