Na, Beatrice Maganga Maraga awasihi wanasiasa kutoiingilia mahakama Jaji Mkuu, David Maraga ametoa wito kwa wanasiasa kujiepusha na mienendo yenye uwezo wa kuhitifaliana na utendakazi wa majaji. Katika kikao na wanahabari, Maraga ametoa mfano wa kisa ambapo Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, Adan Duale alimkosoa hadharani jaji George Odunga kuhusu maamuzi mbalimbali ambayo amekuwa akifanya. Aidha amekitaja kisa cha Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto kudai kwamba upinzani ulikuwa ukishirikiana na mahakama kuhakikisha uchaguzi mkuu unaahirishwa kupitia kesi mbalimbali zilizowasilishwa mahakamani. Maraga aidha amesema kila jaji ana uhuru wa kufanya maamuzi katika kesi mbalimbali zilizo mbele yake bila shinikizo la aina yoyote. Aidha amesisitiza kwamba idara ya mahakama i tayari kuzishughulikia kesi mbalimbali zitakazowasilishwa mbele yake kuhusu uchaguzi mkuu.
Maraga awasihi wanasiasa kutoiingilia mahakama
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- My husband is boring in bed now I have to watch porn
- Why you should monitor your children's screen time this holiday
- Husband's confusion as wife falls pregnant - after he discovers he's infertile
- Seasons of love: Nameless and Wahu 16 years on
- What you need to do to look better and feel healthier in just ONE week
- Minimalist aesthetic: When less is more
- Happily ever after? The truth about finding your lifelong partner
- Nakuru woman attempts to sell her baby for Sh1200 to offset maternity bill
- Horrific: Sh3 million bum job 'from hell' leaves woman with hole
- How to make the festive season memorable
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- My husband is boring in bed now I have to watch porn
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Meghan Markle Pregnant! Will the seventh in line to the throne be a boy or a girl?
- 10 health benefits of eating bananas during pregnancy
- Sister-in-law from hell
- How prostitutes use black magic to attract and keep city men
- How to report a superior without risking your job
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.