Na, Sarah Otieno/ Beatrice Maganga
Viongozi wa muungano wa NASA wamelazimika kukatiza ziara zao mjini Kabarnet Kaunti ya Baringo baada ya kundi la vijana kuzua vurugu walipokuwa wakihutubu.
Kwa mujibu wa wakazi, ghasia hizo zilichangiwa pakubwa na mabango yaliyokuwa na ujumbe 'Ruto shoot to kill' wakisema hali hiyo ilichangia taharuki. Vijana hao aidha wameteketeza mabango na mashati-tao ya NASA na kuvalia yale ya chama cha Jubilee.
Raila aliyezungumza baadaye aliikashifu serikali ya Jubilee akidai haijaangazia masuala ya usalama wa wakazi wa eneo hili, suala ambalo limesababisha vifo na wakazi kupoteza mali yao.
Kauli yake imesisitizwa na Musalia Mudavadi na Gavana wa Bomet, Isaac Ruto ambao wamewashtumu vijana wanaokubali kutumiwa na wanasiasa kuzua vurugu katika mikutano ya kisiasa.
Ziara hiyo inajiri wakati idadi ya walioaga dunia kufuatia shambulio la wezi wa mifugo eneo la Mochongoi, Baringo Kusini imefikia watano baada ya mili miwili kupatikana leo katika Msitu wa Lomoiwe.
NASA imesitisha zira yao Kabaranet Baringo baada ya vijana kuzua vurugu
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- 'I live for myself': Why Ainam Chamere Ashley chose tubal ligation at 24
- Nutritionist urges people not to diet in new year and says to 'eat normally' instead
- What women like in bed and good manners they expect after sex
- LSK, ICJ and three scholars join as friends of the court
- Social norms hinder uptake of contraceptives among youth
- Five benefits of taking that cup of coffee everyday
- Six home remedies to get rid of dandruff
- Toyota Probox: What this workhorse offers, but also a look at its problems
- Sisters Kim and Kylie criticize Instagram over reels
- Corporate Lawyer Njeri Wagacha: Women should stop seeking validation
.
Popular this week
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- How to report a superior without risking your job
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Fathers must help kids discover talent
- Why Kisiis unapologetically roast ‘witches’
- TV hunk Nick Mutuma shows off new model girlfriend at Nairobi Fashion Week
- Why married women cheat 'smarter' than men
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.