Na, Sarah Otieno/ Beatrice Maganga
Viongozi wa muungano wa NASA wamelazimika kukatiza ziara zao mjini Kabarnet Kaunti ya Baringo baada ya kundi la vijana kuzua vurugu walipokuwa wakihutubu.
Kwa mujibu wa wakazi, ghasia hizo zilichangiwa pakubwa na mabango yaliyokuwa na ujumbe 'Ruto shoot to kill' wakisema hali hiyo ilichangia taharuki. Vijana hao aidha wameteketeza mabango na mashati-tao ya NASA na kuvalia yale ya chama cha Jubilee.
Raila aliyezungumza baadaye aliikashifu serikali ya Jubilee akidai haijaangazia masuala ya usalama wa wakazi wa eneo hili, suala ambalo limesababisha vifo na wakazi kupoteza mali yao.
Kauli yake imesisitizwa na Musalia Mudavadi na Gavana wa Bomet, Isaac Ruto ambao wamewashtumu vijana wanaokubali kutumiwa na wanasiasa kuzua vurugu katika mikutano ya kisiasa.
Ziara hiyo inajiri wakati idadi ya walioaga dunia kufuatia shambulio la wezi wa mifugo eneo la Mochongoi, Baringo Kusini imefikia watano baada ya mili miwili kupatikana leo katika Msitu wa Lomoiwe.
NASA imesitisha zira yao Kabaranet Baringo baada ya vijana kuzua vurugu
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Top women who made headlines in 2018
- Top 10 foods that you should never store in your fridge
- Confessions: My first time…
- The nailing wonder truth
- Are my husband's "bad habits" hiding a deeper issue?
- How a mental breakdown saved my life: Media personality Dannish Odongo
- Effective short workouts
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Man Republic: How a virus denied me my first chama windfall
- Help your children understand periods
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Top women who made headlines in 2018
- Kenya deploys special forces to DRC as rebels remain defiant
- Tips for potty training your little one
- Confessions: My first time…
- Are my husband's "bad habits" hiding a deeper issue?
- Is "pregnancy brain" a myth or a real brain change?
- Kenya Airways sinks deeper into losses
- Student charged with extorting MPs
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.