×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

AFYA YAKO: Dangerous TB

Living
Mtazamaji, taarifa tuliyoangazia hiyo jana ya mwanamke mwenye aina sugu zaidi ya kifua kikuu na inayotajwa kuwa hatari zaidi na ghali kutibu, kumeibua wasi wasi mkubwa miongonni mwa wakenya, masuali mengi yameibuka ya ni wengine wangapi wanaougua na ambao yawezekana wanaendeleza maambukizi bila kujua? Na iwapo wako, hii inatosa afya ya umma kwenye hatari kubwa. Tunafuatilia taarifa hiyo katika makala ya afya yako, ambapo damaris kitavi anatujuza mengi kuhusu jinsi ya kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kifua kikuu, na matibabu yaliyopo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles