×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Lungalunga fire tragedy - Swahili

Living

Watu mia moja ishirini wamethibitishwa kufariki katika kijiji cha Sinai kilichoko katika eneo la Lunga Lunga viwandani, huku takriban watu mia moja na sitini wakifikishwa katika hospitali tofauti ikiwemo hospitali kuu ya Kenyata wakiwa na majeraha ya moto. Moto huo unaaminika kusababishwa na mafuta ya petroli yaliyomwagika kutoka kituo cha kuhifadhi mafuta cha Pipeline, na kusafirishwa na mtaro wa maji ambako wenyeji wa kijiji hicho walijaribu kuyachota kabla ya mlipuko kutokea. Takriban nyumba mia tatu ziliteketea, nyingi zikiwa na watu ndani. Waziri mkuu Raila Odinga na makamu wa rais Kalonzo Musyoka walikuwa miongoni mwa viongozi waliowasili katika eneo hilo, na kuahidi kwamba serikali itawalipa fidia waathiriwa.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles