Serikali itawasilisha bungeni hivi karibuni mswada wa kuwezesha serikali kuwafuata washukiwa wa ufisadi hata wakihamia nchi nyingine.Waziri mkuu Raila Odinga amesema leo kwenye kongamano la euromoney hapa jijini kwamba serikali imependekeza mswada huo ambao utajulikana kama mutual legal assistance bill. Aidha Raila alisema serikali itafanya juhudi kuwapa wakenya wenye mapato madogo kwenye miji chakula kwa bei nafuu lakini hakusema ni lini mradi huo utaanza. Kongamano hilo lilifunguliwa na rais Mwai Kibaki na unaisha kesho.
Raila Kibaki on tracking funds
Living
By | 17 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Five home appliances that make home management easy
- Honouring mothers beyond Mother's Day
- Easy recipe: Homemade tallow
- Honouring mothers beyond Mother's Day
- Kim Kardashian reveals Kanye West wants her to 'dress sexier' as she discusses their sex life
- Rotting remains of boy missing for more than a decade found in mother's car boot
- How to remove hard water stains from your utensils
- Why women dislike bachelors and opt to be second wives instead
- Mystery as two women killed in same apartment block
- Here's how to set yourself for success
.
Popular this week
- How focus and creativity shaped Ayako's animation career
- Honouring mothers beyond Mother's Day
- Ten nail tech characters every Kenyan girl has encountered
- Natural does not mean safe: Experts warn against risks linked to raw milk
- Cocktail bar: Zucchini sea salt vodka soda
- Easy recipe: Homemade tallow
- Five home appliances that make home management easy
- The fedora can instantly elevate any look, any time
- Paranoid, carefree or cautious: What kind of mum are you?
- Cocktail bar: The monkey shoulder
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.