×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Raila Kibaki on tracking funds

Living

Serikali itawasilisha bungeni hivi karibuni mswada wa kuwezesha serikali kuwafuata washukiwa wa ufisadi hata wakihamia nchi nyingine.Waziri mkuu Raila Odinga amesema leo kwenye kongamano la euromoney hapa jijini kwamba serikali imependekeza mswada huo ambao utajulikana kama mutual legal assistance bill. Aidha Raila alisema serikali itafanya juhudi kuwapa wakenya wenye mapato madogo kwenye miji chakula kwa bei nafuu lakini hakusema ni lini mradi huo utaanza. Kongamano hilo lilifunguliwa na rais Mwai Kibaki na unaisha kesho.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles