×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Benki ya KCB Yatenga Bilioni 250 Kuwasaidia Wafanyabiashara Wanawake

Living

Benki ya KCB imetenga shilingi bilioni 250 aitakazotumika kuwafadhili wanawake wawekezaji katika kipindi cha miaka 5 ijayo.

Ufadhili huo unaolenga biashara zinazomilikiwa na kusimamiwa na wanawake kote nchini unalenga kuimarisha mchango wa benki hiyo katika ukuaji wa uchumi.

Ili kuafikia mpango huo KCB tayari imerahisisha matakwa na stakabadhi zinazohitajika ili kuharakisha mipango ya kutoa mikopo. Pia wanawae hao wawekezaji wataweza kupokea usaidizi usio wa kifedha kutoka mashirika mbalimbali yanayoshirikiana na benki hiyo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles