Benki ya KCB imetenga shilingi bilioni 250 aitakazotumika kuwafadhili wanawake wawekezaji katika kipindi cha miaka 5 ijayo.
Ufadhili huo unaolenga biashara zinazomilikiwa na kusimamiwa na wanawake kote nchini unalenga kuimarisha mchango wa benki hiyo katika ukuaji wa uchumi.
Ili kuafikia mpango huo KCB tayari imerahisisha matakwa na stakabadhi zinazohitajika ili kuharakisha mipango ya kutoa mikopo. Pia wanawae hao wawekezaji wataweza kupokea usaidizi usio wa kifedha kutoka mashirika mbalimbali yanayoshirikiana na benki hiyo.
Facts First
Unlock bold, fearless reporting, exclusive stories, investigations, and in-depth analysis with The Standard INSiDER subscription.
Already have an account? Login
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.