×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Washukiwa sugu wa uhalifu wahojiwa Nairobi

Living
Washukiwa 3 wanaohusishwa na visa vya kuwavamia waendeshaji magari kwenye Barabara ya Southern Bypass Jijini Nairobi wanahojiwa na maafisa wa polisi.   Watatu hao; Brian Mwangi, Nickson Muchirina mtoto mwenye umri wa miaka 15 ambaye hajatambuliwa walinaswa wakiwa wamejihami kwa panga na silaha nyinginezo.   Watatu hao wanashukiwa kuhusika na visa kdhaa vilivyoripotiwa hivi karibuni.   Hiki ni kikundi cha pili cha wahalifu kutiwa mbaroni baada ya wengine 6 ambao walikamatwa baada ya kumvamia msafiri mmoja na mwanawe.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles