×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Msemaji wa polisi asema taarifa za ujasusi hazikutosha kuzishugulikia

Living

Na Suleiman Yeri?

Serikali ilikuwa na taarifa za kijasusi kuwa kundi gaidi la AL-Shabaab lilikuwa likipanga kushambulia  mji wa Mandera lakini taarifa hizo hazikutosheleza kuchukua hatua madhubuthi. Haya ni kwa mujibu wa Msemaji wa serikali Eric Kiraithe.

Akizungumza kwenye kikao na wanahabari Kiraithe amethibitisha kuuliwa kwa watu sita na kundi gaidi la Alshabab katika mtaa wa Bulla Public Works mjini Mandera.

Kiraithe amesema  idadi ya washambulizi kwa sasa haijajulikani, huku akisisitiza kuwa maafisa wa usalama walifika  haraka kwenye eneo la tukio hilo na kuokoa watu waliokuwa wakiishi kwenye nyumba hiyo ya kupangisha.

Aidha Kiraithe amesisitiza licha ya kuwapo taarifa za ujasusi ni sharti wakenya wapige ripoti wanapoona mienendo ya kutilia shaka.

 

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles