×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Watu sita waaga dunia katika ajali Kendu Bay

Living

Na, Carren Omae

Watu sita wamefariki dunia na wengine kumi kujeruhiwa kwenye ajali iliyotokea jioni hii kwenye barabara ya Kendu Bay-Katito, Kaunti ya Homabay. Ajali hiyo iliyohusisha gari la abiria na jingine dogo imetokea kilomita moja kutoka mjini, Kendu Bay. Mkuu wa Polisi Kaunti ya Homa Bay, John Omusanga amesema waliojeruhiwa wanatibiwa katika hospitali iliyo karibu. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, walioaga dunia walikuwa abiria.

 

 

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles