×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Baraza fate to be known Friday

Living
Hatma ya naibu wa jaji mkuu nchini nancy baraza itajulikana siku ya ijumaa mwendo wa saa nane unusu. Akitangaza haya baada ya kikao na makamishna wa tume ya huduma za mahakama, jsc jaji mkuu nchini dakta willy mutunga alisema kwamba wamebuni kamati ndogo itakayochunguza tukio la madai ya utovu wa nidhamu ulioripotiwa. Wakati huohuo,chama cha wanasheria nchini kimewataka wakenya kuwa na subira,hasa wakati huu ambapo uchunguzi unaendelea kuambatana na kisa hicho. Ali manzu na taarifa zaidi

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles