×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Darubini: Jaffer Issack

Living

Jaffer Isaak ni miongoni mwa wengi ambao wamejitokeza kuwania wadhifa wa urais . Jaffer aliye na umri wa miaka 38, amezaliwa na kukulia katika mji wa Moyale anatuelezea mengi kuhusu maisha yake ya taabu aliyoyapitia siku zake za ujana kutokana na ufukara uliokuwa umezingira familia yake , Jaffer amewahi kuwa dereva wa teksi nchini uingereza , na pia alihudumu kama mwanajeshi takriban miaka kumi humu nchini . Kwa sasa anajivunia kuishi maisha ambayo sio ya kuhangaika licha ya pandashuka nyingi maishani na ndiye anayetupambia makala ya darubini usiku wa leo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles